• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wilaya ya Hai Yajizatiti Kuimarisha Huduma za Bima ya Afya ya Jamii

Imetumwa: July 27th, 2020


Wito umetolewa kwa waandikishaji wa huduma za bima ya afya ya jamii (ICHF) kuwaelimisha wananchi wanaowaandikisha ili kuimarisha uelewa wa wanajamii na kuondoa dhana potofu inayoenezwa kuhusu huduma za bima hiyo.

Akizungumza kwenye mafunzo ya kuwaongezea uwezo waandikishaji wa bima hiyo katika Wilaya ya Hai; Meneja Mradi kutoka Tume ya Kikrito ya Huduma za Jamii (CSSC), Godlisten Moshi amesema waandikishaji wanatakiwa kuzungumza na wananchi wanaowaandikisha na kuwaelimisha kwa undani kuhusu huduma zinazotolewa na bima hiyo.

Moshi amewataka waandikishaji kuwaelimisha wananchi kuhusu aina ya huduma ambazo hazitolewi na mfuko huo ili wawe na uelewa wa huduma hizo na kuwafanya wasihuzunike pale wanapokosa aina hizo za huduma.

Naye Mratibu wa Bima hiyo katika Wilaya ya Hai Elia Kapinga amesema waandikishaji waendelee kuwa daraja la kufikisha wilayani taarifa za changamoto wanazokutana nazo wananchi katika kupata huduma ili kuwasaidia kupata ufumbuzi wa changamoto hizo.

Aidha Kapinga amewakumbusha waandikishaji kutekeleza majukumu yao hasa kazi ya kuwasajili wananchi kwenye mfumo wa bima ili kuwafikia watu wengi Zaidi na kuwa na bima imara lakini pia kuwa na jamii yenye afya na uhakika wa kupata matibabu pale wanapougua.

Kwa nyakati tofauti waandikishaji walioshiriki mafunzo hayo  wameshukuru uongozi wa wilaya kwa kuandaa mafunzo hayo kwani elimu waliyoipata itawasaidia kuboresha utendaji wao lakini pia itawasaidia kutoa elimu sahihi kwa wananchi wanaowahudumia.

Mafunzo haya ya kuwaongezea ujuzi waandikishaji ni moja kati ya mbinu kadhaa zinazotumiwa katika kuwafikia wananchi wengi Zaidi ili kuimarisha upatikanaji wa huduma za afya kwa kutumia mifumo ya bima nafuu kwa wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UCHAGUZI MKUU 2020 October 10, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UCHAGUZI MKUU 2020 October 10, 2020
  • TANGAZO LA USIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI MWAKA 2020 October 20, 2020
  • Vitambulisho vya Wajasiriamali Wadogo 2020 May 30, 2020
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Wanawake, Vijana jiungeni kwenye vikundi mnufaike na mikopo ya Serikali: Diwani Masama Kusini

    January 21, 2021
  • Diwani Bomang'ombe Aahidi Kusaidia Wenye Uhitaji, Ajira kwa Vijana

    January 12, 2021
  • 'Hai Rural Teachers SACOSS' Wapata Uongozi Mpya

    January 10, 2021
  • Mbunge wa Hai Akabidhi Vifaa Tiba Zahanati ya Kware

    January 09, 2021
  • Ona Yote

Video

Wilaya ya Hai Nafasi ya 4 Kitaifa Darasa la Saba 2020
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri nje ya nchi

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi: 0752195133

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai