• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Radio Boma Yazindua Kampeni Ya Nipe Nafasi Tena

Imetumwa: August 22nd, 2025

 Kampeni ya “Nipe Nafasi Tena” imezinduliwa rasmi katika shule ya sekondari Bomang’ombe wilayani Hai, ikilenga kuwapa wanafunzi nafasi ya pili na kuwapa misaada wanafunzi wanaosoma chini ya mradi wa SEQUIP katika shule ya sekondari bomang’ombe.

Mgeni rasmi katika uzinduzi huo alikuwa Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Hai, Bi. Hellen Mselem, aliyekaimu nafasi ya Mkurugenzi Mtenadaji Akihutubia wanafunzi na walimu, Bi. Mselem alisema kampeni hiyo ni chachu ya kuwasaidia vijana kuzingatia elimu kama nyenzo ya kufanikisha ndoto zao.

“Nawasihi kila mwanafunzi kutumia nafasi hii kwa bidii na nidhamu. Elimu ndiyo nguzo ya maisha yenu na serikali itaendelea kushirikiana na wadau kuhakikisha kila mmoja anapata mazingira bora ya kujifunzia,” amesema Bi. Mselem.

Kwa upande wake, Afisa Habari wa Wilaya ya Hai, Bi. Riziki Lesuya, alisema kampeni hiyo ni sehemu ya jitihada za serikali katika kuhakikisha vijana wanajitambua na kutumia vizuri nafasi walizonazo.

“Tumefanya haya kwa kushirikiana na wadau mbali mbali nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sitawashukuru wote waliojitoa kwaajili ya hili, radio boma peke yetu hatuwezi ila kwa kushirikiana na wasikilizaji na wadau Mungu katuwezesha. Tunatamani kuona Kampeni hii inaleta mwamko wa kielimu na maadili miongoni mwa wanafunzi,” amesema Bi. Lesuya.

Naye kiongozi wa darasa la SEQUIP, Maico, alitoa shukrani za dhati kwa serikali na wadau waliowezesha kampeni hiyo.

“Kwa niaba ya wenzangu, ninaishukuru boma hai fm kwa kutuletea kampeni hii. Imetupa hamasa kubwa ya kuendelea kusoma kwa bidii na kutokata tamaa licha ya changamoto tunazokabiliana nazo nashukuru sana na Mungu awabariki wote,” amesema Maico.

Kampeni ya “Nipe Nafasi Tena” inatarajiwa kufungwa rasmi mnamo tarehe  katika shule ya bomang’ombe sekondari, ikiwa na malengo ya kuongeza mahitaji, kujenga maadili na kuwaandaa vijana kwa maisha bora ya baadaye.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA UCHAGUZI MKUU July 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Wanafunzi Watakiwa Kusoma Kwa Bidii

    August 22, 2025
  • Radio Boma Yazindua Kampeni Ya Nipe Nafasi Tena

    August 22, 2025
  • Wagonbea Wawili Wachukua Fomu Jimbo La Hai

    August 21, 2025
  • Katibu Tawala Wilaya ya Hai Sospeter Magonera Ametaka Makubaliano Ya Ukodiswaji Wa Shamba Kuheshimiwa

    August 20, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai