• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Halmashauri Yasaini Mkataba Wa Shilingi Bilioni 10.89 Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Soko La Kwasadal

Imetumwa: October 11th, 2025

Halmashauri ya wilaya ya Hai imeisaini mkata na kampuni ya Nolspan International wenye tahamani ya shilingi bilioni 10.89 kwa ajili ya ujenzi wa soko jipya la Kwasadala mradi unaotarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka 2.

Akizungumza kabla ya kusaini Mkataba huo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo ndugu Dionis Myinga amesema serikali imetenga shilingi bilioni 11.6 kwa ajili ya ujenzi huo ambapo mkandarasi aliyepatikana amekisia kutumia bilioni 10.8 katika ujenzi utakao fanyika kwa miaka miwili na kwamba utekelezaji wake una anza mara baada ya kusaini mkataba.

Akizungumza katika hafla ya kusaini mkataba huo Mkuu wa wilaya ya Hai Hassan Bomboko amemwagiza mkandarasi huyo kuhakikisha kuwa anafanya kazi hiyo kwa ufanisi na kuikamilisha kwa wakati kwa mujibu wa mkataba.

“kwetu sisi watu wa Hai hii ni historia hivyo nitasimimia mkataba huu kwa uchu na wivu mkubwa sana, ukakamilike kwa wakati hatutaki kona kona watu wawe sight ,sitocheka na mtu yoyote kwenye huu mradi, kazi ikafanyike amesema Bomboko. 

Bomboko pia amemshukuru Mhe.Rais kwa kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi mradi huo utakao badilisha uchumi wa wananchi wa wilaya ya Hai ambao  watafanya biashara katika mazingira safi,salama na rafiki kwa kazi zao.

“Kiasi cha fedha kilichotengwa kwa ajili ya ujenzi wa soko la Kwasadala ni fedha nyingi sana ambazo kama tungejenga shule ,tungejenga shule 20 kwetu sisi wana Hai  kupata fedha nyingi kiasi hiki kwa kutekeleza mradi mmoja ni historia amesisitiza Bomboko.

Akizungumza baada ya Kusaini Mkataba huo Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Nolspan International Noel Christopher ameahidi kutekeleza mradi huo kwa ubora na kwa wakati ili kutimiza maono ya serikali kwa wananchi wake.

Tumepata nafasi hii ya kutekeleza ujenzi mkubwa soko hili la kisasa na tutahakikisha kuwa yale maono ambayo serikali ilkuwa nayo yanatimia na kuhakikisha kuwa ile fedha ambayo mhe. Rais ameteoa itaonekana katika soko hiliamesema Christopher. 

Soko la Kwasadala kwa sasa linaamika kuhudumia wafanya biashara kutoka mikoa ya Tanga, Arusha, Dar es Salaam,Dodoma na mikoa mingine mingi ya Tanzania ambayo hutegemea mazao ya mboga mboga ,ndizi na matunda kutoka katika soko hilo.

Matangazo

  • TANGAZO KUITWA KWENYE USAILI UCHAGUZI MKUU 2025 JIMBO LA HAI October 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA UCHAGUZI MKUU July 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Halmashauri Yasaini Mkataba Wa Shilingi Bilioni 10.89 Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Soko La Kwasadal

    October 11, 2025
  • Mkuu Wa Eialya Ya Hai Aagiza Uchonguzi Chanzo Cha Moto Nronga

    September 26, 2025
  • Mkuu Wa Mkoa Wa Kilimnjaro Aridhishwa Na Utekelezaji Wa Miradi

    September 25, 2025
  • Hai Yaadhimisha Siku Ya Usafishaji Mazingira Kwa Kufanya Usafi

    September 20, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai