• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Viwanda na Biashara

Yapo maeneo makubwa 2 yenye hekta 515.6 yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji. Moja likiwa ni lililoainishwa takribani miaka 10 iliyopita kuwa ukanda wa uwekezaji kwa ajili ya EPZ. Hili liko kijiji cha Sanya Station na lina ukubwa wa hekta 463, halijapimwa wala kulipiwa fidia kwa mujibu wa sheria na hivyo kuendelea kuvamiwa na kuendelezwa. Pili ni eneo la Weruweru Industrial Complex lenye ukubwa wa hekta 52.6 ambalo limeshapimwa na viwanja kumilikishwa kwa wawekezaji mbalimbali.

Hata hivyo, wananchi wengi waliomilikishwa viwanja hivyo wameshindwa kuviendeleza kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu. Kutokana na hali hiyo, serikali tayari imetoa maelekezo ya kubatilisha milki husika ili viwanja vitolewe kwa wawekezaji wengine wenye uwezo wa kuviendeleza.

Halmashauri ikishirikiana na Serikali kuu inafanya mikakati shirikishi ya uanzishaji, uendeshaji na usimamizi wa viwanda pamoja na kufufua viwanda.  Pia inatekeleza dhana ya uchumi wa viwanda kwa kuhamasisha  sekta binafsi  kufungua viwanda kama vile kiwanda cha mabati, (Northpole Company Ltd) kilichopo Mungushi, Kiwanda cha kuku wa mayai (Afro Farm Ltd)  kiwanda cha  kutengeneza vyombo vya plastiki  (Ametech Plastic Group) kilichopo Hai mjini na kiwanda cha kutengeneza pombe ya ndizi (Jackro Investment) kilichopo Masama Rundugai.

Matangazo

  • TANGAZO LA WAZABUNI WA VIFAA April 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA FUNDI MKUU UJENZI March 17, 2023
  • KUITWA KAZINI January 23, 2023
  • TANGAZO LA KAZI, MKUSANYA MAPATO NA MTEKNOLOJIA MSAIDIZI DAWA January 24, 2023
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Wilaya Ya Hai Yapata Shilingi 949,000.000 Za Mradi Wa BOOST

    May 15, 2023
  • Jukumu La Kupanda Miti Ni La Kila Mwananchi

    May 10, 2023
  • Madiwani Watakiwa Kusimamia Fedha Za Maendeleo

    May 10, 2023
  • RUWASA Waagizwa Kutoa Bei Elekezi Ya Maji

    May 08, 2023
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai