• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Bilioni 24.8 Zimetumika Kuboresha Soko La Kwasadala

Imetumwa: October 27th, 2025

Serikali imetumia shilingi Bilioni 24.8 kwajili ya kuboresha miundo mbinu ya shule za Msingi na Sekondari katika halmashauri ya wilaya ya Hai, hatua inayotajwa kuchochea ongezeko la ufaulu na kupunguza changamoto za mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi.

Kati ya fedha hizo shilingi 14,224,066,078.75 ni kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu ya shule na shilingi na shilingi 10,573,828,854.41 ni kwa ajili ya elimu bila malipo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Dionis Myinga ameeleza kuwa miongoni mwa miradi iliyotekelezwa ni ujenzi wa  shule mpya 7 ambapo shule tano ni za Sekondari na shule 2 ni za  awali na msingi, utanuzi na ukarabati wa shule kongwe na chakavu 5, ujenzi wa mabweni 18, mabwalo 2, matundu ya vyoo 311, nyumba za waalimu 15 madarasa 221 na maabara 17.


Myinga amesema ujenzi wa miradi hiyo imesababisha ongezeko la idadi ya wanafunzi kutoka 15,698 mwaka 2021 hadi wanafunzi 17,413 kwa shule za msingi ambalo ni sawa na asilimia 10.9 ya wanafunzi 15,698 waliosajiliwa mwaka 2021.


Ufaulu umeendelea kuongezeka katika mitihani ya kitaifa kutoka asilimia 91 mwaka 2021 hadi asilimia 98.3 mwaka 2024 kwa shule za sekondari amesema Myinga.


Wakizungumzia hatua hiyo wananchi wa Hai wameishukuru serikali na kusema kwamba imewapunguzia wanafunzi umbali wa kutembea ambapo awali baadhi ya wanafunzi walikuwa wakitembea zaidi ya umbali wa hadi km 15 kwa siku.


“Watoto wetu walikuwa wanatembea umbali mrefu, wanakutana na changamoto njiani hasa wa kike na hivyo kusababisha wengine kukatisha masomo ila sasa hivi mambo yamerahisishwa”. alisema Getruda Masawe

Naye mwanafunzi wa shule ya sekondari Mkawaya ameleza kuwa shule hiyo imekuwa msaada kwao kwasababu imerahisisha kufika shuleni kwa wakati na kusoma kwa utulivu bila kuwa na msongamano madarasani.

“shule hii mpya  imepunguza uchelewaji wa baadhi ya vipindi  hasa vya asubuhi na kwasasa tunahudhuria vipindi vyote bila kuwa na changamoto yoyote amesema Jackline Joseph

Sera ya elimu na mafunzo ya mwaka 2014 toleo la 2023 inasisitiza mwanafunzi kuwekewa mazingira yanayo mwezesha kupata elimu na mafunzo na kumaliza mzunguko wa elimu katika ngazi husika.

Matangazo

  • WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOCHAGULIWA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 19, 2025
  • TANGAZO KUITWA KWENYE USAILI UCHAGUZI MKUU 2025 JIMBO LA HAI October 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA UCHAGUZI MKUU July 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Wananchi 152,147 Kupiga Kura Jimbo La Hai

    October 27, 2025
  • Bilioni 24.8 Zimetumika Kuboresha Soko La Kwasadala

    October 27, 2025
  • Bilioni 24.8 Zimetumika Kuboresha Soko La Kwasadala

    October 27, 2025
  • Wazazi Wahimizwa Kuwapa Elimu Watoto Wenye Ulemavu

    October 25, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai