• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wazazi Wahimizwa Kuwapa Elimu Watoto Wenye Ulemavu

Imetumwa: October 25th, 2025

Katika kuadhimisha siku ya watoto wenye kichwa kikubwa na mgongo wazi duniani, wananchi wamejitokeza katika viwanja vya Snow View, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika madhimisho siku ya Watoto wenye ulemavu wa Kichwa kikubwa na mgongo wazi lengo kuelimisha jamii na kuhamasisha upendo kwa watoto wenye ulemavu huu wa kuzaliwa. 

 Maadhimisho haya yameandaliwa kwa shirika la asbaht kushirikiana na serikali na Chama cha Wazazi Wenye Watoto Wenye Ulemavu wa Kichwa Kikubwa na Mgongo Wazi nchini.

Akizungumza katika hafla hiyo, mgeni rasmi kutoka muwakirishi wa mkuu wa wilaya ya hai amesisitiza kuwa serikali inaendelea kutoa huduma za upasuaji na matibabu kwa watoto wenye changamoto hizi kupitia taasisi kama MOI na hospitali za rufaa nchini zinatoa huduma .

 Aidha, amewataka wazazi kutambua kuwa hali hizi si laana bali ni matatizo ya kiafya yanayoweza kutibiwa mapema iwapo jamii itakuwa na uelewa sahihi.

Kwa upande wao,Wazazi na walezi waliotoa ushuhuda wao walieleza changamoto wanazokumbana nazo, ikiwemo unyanyapaa, gharama za matibabu, na ukosefu wa vifaa saidizi.

Hata hivyo, wamemushukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dk.samia Suluhu Hassan kwa kugharamia matibabu ya watoto zaidi ya 100 kupitia mpango maalum wa serikali, hatua iliyowapa matumaini mapya ya maisha bora kwa watoto wao.

Maadhimisho haya yamehitimishwa kwa sote tunawajibu wa kupunguza walemavu wenye kichw kikubw na mgongo wazi a kichwa kikubwa siyo laana Kauli hii imelenga kuvunja unyanyapaa na kuhimiza mshikamano wa kijamii katika kusaidia watoto hawa kufikia ndoto zao.

Matangazo

  • WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOCHAGULIWA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 19, 2025
  • TANGAZO KUITWA KWENYE USAILI UCHAGUZI MKUU 2025 JIMBO LA HAI October 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA UCHAGUZI MKUU July 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Wananchi 152,147 Kupiga Kura Jimbo La Hai

    October 27, 2025
  • Bilioni 24.8 Zimetumika Kuboresha Soko La Kwasadala

    October 27, 2025
  • Bilioni 24.8 Zimetumika Kuboresha Soko La Kwasadala

    October 27, 2025
  • Wazazi Wahimizwa Kuwapa Elimu Watoto Wenye Ulemavu

    October 25, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai