• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wanafunzi Watakiwa Kusoma Kwa Bidii

Imetumwa: August 22nd, 2025


Wanafunzi waliorejea masomoni baada ya kukatisha masomo kutokana na changamoto mbalimbali za maisha wanapaswa kutumia muda wao vizuri na kutambua nafasi waliyopewa ni ya thamani katika kutimiza ndoto walizonazo.

Ameyasema hayo afisa elimu Sekondari wilaya ya Hai wakati wa uzinduzi wa kampeni Maalumu ilitoandaliwa na kituo cha Matangazo cha Radio Boma Hai Fm iiyopewa jina 'Nipe nafasi tena' yenye lengo la kuwaunga mkono wanafunzi wenye changamoto mbalimbali waliorejea masomoni. 

Aidha Afisa elimu ambaye ndiye mgeni rasmi kattia uzinduzi  huu Kwa niaba ya Mkurugenzi Mtenadaji Wilaya ya Hai Dionis Myinga, kampeni hiyo ametoa ahadi ya kupatikikana kwa hostel 1 kwa ajili ya wanafunzi wa kike Kwa lengo la kutatua changamoto ya umbali mrefu, utoro na ujauzito wa kujirudia.

Kwa upande wake,Afis Habari wa wilaya ya Hai Riziki Lesuya amewashukuru wadau mbalimbali na wasikilizaji wa Radio Boma waliosaidia kufanikisha uzinduzi wa kampeni hii pia ametoa wito kwa wanaotamani kushiriki katika kampeni hii bado fursa ipo mpaka pale watakapotangaza kufunga rasmi kampeni ya Nipe nafasi tena.

Naye Mkuu wa Shule ya Sekondari Boma Elisei Msoka ametoa shukrani zake kufuatia uzinduzi wa kampeni hii kwani itawajengea wanafunzi kujiamini vilevile amewataka wanafunzi kutokukata tamaa na kusoma kwa bidii ili wapate matokeo mazuri.

Kampeni ya nipe nafasi tena inalengo la kuunga mkono juhudu za serikali za kuwarejesha shuleni wanafunzi waliocha masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo mimba za utotoni,hali ngumu ya maisha, magonjwa na sababu nyingine mbalimbali, kampeni hiyo imeandaliwa na Radio Boma Fm kwakushirikiana na halmashauri ya wilaya ya Hai.

                                                                           

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA UCHAGUZI MKUU July 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Wanafunzi Watakiwa Kusoma Kwa Bidii

    August 22, 2025
  • Radio Boma Yazindua Kampeni Ya Nipe Nafasi Tena

    August 22, 2025
  • Wagonbea Wawili Wachukua Fomu Jimbo La Hai

    August 21, 2025
  • Katibu Tawala Wilaya ya Hai Sospeter Magonera Ametaka Makubaliano Ya Ukodiswaji Wa Shamba Kuheshimiwa

    August 20, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai