• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Katibu Tawala Wilaya ya Hai Sospeter Magonera Ametaka Makubaliano Ya Ukodiswaji Wa Shamba Kuheshimiwa

Imetumwa: August 20th, 2025

Wawekezaji wilaya ya Hai wametakiwa kulinda rasimali zilizopo katika maeneo wanayowekeza pamoja na kutunza mazingira kwa kupanda miti yakutosha ili kuendelea kulinda uoto wa asili.

‎Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wilaya ya Hai Ndugu Sospeter Magonera wakati akishuhudia utiaji sain kati ya mwekezaji ambaye ni APKL na chama cha ushirikia cha FONRWA uliofanyika katika shamba hilo lililopo wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro.

‎Pia amewataka wawekezaji kuendeleza kuyatunza mashamba hayo ambayo ni zawadi kutoka kwa mungu huku akiwasisitiza kuwa ardhi hiyo iliyotolewa na Mungu isiwagombanishe watu kwa dhuluma na wivu Kwa namna yoyote.

‎

‎Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya APKL ( African Partnership Kilimanjaro Limited) Ndugu Anold Temba ameishukuru serikali na chama cha ushirika kwa makubaliano ya pande zote mbili kufikia makubaliano ya mkataba wa shamba hilo lenye Hekari 205 ambazo kati ya hizo 25 zitakuwa ni Shamba Darasa kwaajili ya mafunzo Kwa wanaushirika na Wananchi wengine, na nyingine ni kwaajili ya Kilimo cha Kahawa aina ya Arabica

‎

‎Amesema kwa kipindi cha miaka kumi wamekuwa wakitoa ajira zaidi ya 940 kila siku na uzalishaji ukiendelea kukua hadi kufikia gunia zaidi ya elfu 3000 kwa mwaka.

‎

‎Nae Mrajisi wa vyama vya Ushirika Mkoa Bi Jacline Senzigwa ameeleza vipengele mbalimbali kwenye mkataba na kuwaka wanashirika kuchangia pato la taifa na kuwaeleza wawekezaji kuwa wanatakiwa kutenga asilimia 10 kwaajili ya miradi ya jamii jambo ambalo ni takwa na vyama na mkataba kwa lengo la kurudisha kwa jamii na kulinda rasimali.


Akizungumza k‎wa niaba ya wenzake Eliisi  Muro  ameiomba Kampuni ya APKL kuzingatia mkataba waliosaini ili kuliendeleza shamba hilo.

@wizara_ya_kilimo

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA UCHAGUZI MKUU July 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Katibu Tawala Wilaya ya Hai Sospeter Magonera Ametaka Makubaliano Ya Ukodiswaji Wa Shamba Kuheshimiwa

    August 20, 2025
  • Katibu Tawala Wilaya Ya Hai Azitaka Timu Za Halmashauri Kurejea Na Ushindi

    August 13, 2025
  • Mkurugenzi Mtenadaji Ahimiza Watumishi Kuwajibika

    July 29, 2025
  • Shule Za Msingi Wilayani Hai Zaendelea Kunufaika na Boost

    July 22, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai