• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Aagiza Kutunzwa Miundombinu Ya Shule

Imetumwa: December 24th, 2021

Mkuu wa wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Juma Irando amewataka waalimu na wanafunzi kuhakikisha wanatunza  miundombinu ya shule mbali mbali iliyojengwa Wilayani humo.

Mkuu huyo wa wilaya ameyasema hayo jana Des 24 2021 wakati akikabidhiwa vyumba 6 vya madarasa na Mkurugenzi mtendaji wa wilaya hiyo, vilivyo kamilika katika Shule ya Sekondari Hai, baada ya kujengwa kupitia fedha za mpango wa maendeleo kwa ustawi wa Taifa na zile za Uvico 19.

"Leo tumetembelea na  kupokea vyumba vya mdarasa kwenye shule mbali mbali Wilayani kwetu na vimekuwa tayari kwa matumizi ya wanafunzi wetu hapo Januari mwakani

Kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza,kikubwa ni kutunza madarasa hayo,kwani Serikali inatumia gharama kubwa kujenga haya madarasa"

"Itakuwa Jambo la ajabu kuanza kuyakarabati haya madarasa kwa muda mfupi,kwa wanafunzi kuvunja vioo ,kuvunja madirisha,milango ,kukwaruza ukuta na kuvunja madawati hii hatutakubali"alisema Irando

Irando amewataka wazazi kuhakikisha  wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu, wanaripoti  shuleni kwa muda uliopangwa ili waweze kuanza masomo kwa wakati.

Mkurungenzi mtendaji wa Halmshauri hiyo, Dionis Myinga, ameishukuru Serikali ya awamu ya 6 kwa kutoa fedha sh. Milion 860 zilizofanikisha ujenzi wa vyumba 43 vya madarasa katika shule mbali mbali za Sekondari Wilayani humo.

"Ni kweli vyumba 43 katika shule mbalimbali za Sekondari vimekamilika kwa asilimia mia moja,tunampongenza Rais Samia Suluhuu Hasani kwa kutuletea hizi fedha, amewasaidia wananchi kwa kiasi kikubwa wasiingie kwenye michango ya kujenga vyumba hivyo"amesema Myinga

Myinga ameongeza kuwa wilaya hiyo hapo awali ilikuwa na upungufu wa vyumba 60 vya madarasa kwa shule za Sekondari na kusema kuwa kukamilika kwa madarasa hayo kutasaidia kwa kiasi kikubwa kuondoa adha hiyo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Edmund Rutaraka,ameeleza kuwa  wamejiridhisha na kiwango cha usimamizi wa fedha hizo katika kutekeleza miradi.

Wananchi wa wilaya ya Hai akiwemo Meshaki Jackson ameishukuru Serikali kwa kuwafanikisha ujenzi wa shule hizo tangu hatua ya boma hadi umaliziaji tofauti na hapo awali ambapo walikuwa wanachangishwa fedha kwa ajili ya ujenzi huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUMPATA FUNDI KWA AJILI YA JENGO LA MAABARA HOSPTALI YA WILAYA YA HAI March 29, 2022
  • TANGAZO LA KUTAFUTA FUNDI WA UJENZI JENGO LA KUIFADHI MAITI,SHIMO LA KUHIFADHI KONDO LA NYUMA,SEPTIC TANK...KATIKA KITUO CHA AFYA LONGO LINARUDIWA March 29, 2022
  • TANGAZO LA KUMTAFUTA FUNDI (LOCAL FUNDI) KWA AJILI YA UJENZI WA JENGO LA WAGONJWA MAHUTUTI (I.C.U) KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA HAI April 01, 2022
  • Vitambulisho vya Wajasiriamali Wadogo 2020 May 30, 2020
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shilingi Milioni 93 Zatolewa Mkopo Kwa Vikundi Vya Vijana,Wanawake Na Watu Wenye Ulemavu

    April 26, 2022
  • Wilaya Ya Hai Imeadhimisha Miaka 58 Ya Muungano Wa Tanganyika Na Zanzibar Kwa Kufanya usafi

    April 26, 2022
  • Viongozi Watakiwa Kutoa Ushirikiano Katika Utekelezaji Wa Anwani Za Makazi

    March 21, 2022
  • Wakusanya Taarifa Za Anwani Za Makazi Watakiwa Kufanya Kazi Kwa Weledi

    March 16, 2022
  • Ona Yote

Video

Wilaya ya Hai Nafasi ya 4 Kitaifa Darasa la Saba 2020
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri nje ya nchi

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai