• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

DC Sabaya Aruhusu Uchimbaji wa Madini ya Ujenzi

Imetumwa: December 7th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameruhusu  kuendelea kwa shughuli za uchimbaji wa madini  ya mchanga baada ya kusitisha kwa siku kadhaa  kutokana na  uharibifu mkubwa wa mazingira hali iloyopelekea kuhatarisha maisha ya wananchi waliokuwa katika maeneo hayo.

Akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliyofanyika katika mji mdogo wa Bomang’ombe, Sabaya amesema kuwa migodi ambayo imeruhusiwa kuendelea na uchimbaji ni ile ambayo haina uhatarishi wowote kwa wachimbaji na jamii kwa ujumla.

“Nikiona kitu chochote kinachoweza kusababisha hatari katika maisha ya wananchi nina wajibu wa kuzuia isitokee, ndio maana nilizuia machimbo haya kwa muda. Mazingira ya mashimo mnayochimba si ya kuridhisha na yanahatarisha usalama wa wananchi.” Amesema Sabaya.

“Baada ya kushauriana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya; tumekubaliana kufungulia migodi ambayo haina hatari kwenye usalama wa wananchi, kwa ile migodi yenye hatari nimetoa kibali cha siku thelathini ili ifukiwe. Wakati mnachimba migodi mingine muhakikishe mnafukia  zile ngema  zote kwa sababu zile ni hatari sana.” Amebainisha Dc Sabaya.

Aidha amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai pamoja na Afisa Mazingira wilaya kufika katika eneo la uchimbaji kwa ajili ya kuwaonyesha wachimbaji maeneo sahihi ya uchimbaji wa madini hayo.

Katika kushughulikia kero mbalimbali za wananchi kwenye sekta ya ardhi, Mkuu wa Wilaya Sabaya amewaahidi wananchi kuwa atatafuta siku maalumu ya kushughulikia kero hizo.

“Kuhusu migogoro ya ardhi naagiza  Afisa Ardhi  kupitia ofisi ya Mkurugenzi, mshirikishe wenyeviti wote na wanachi watangaziwe tupate malalamiko yote ya ardhi tuyafanyie kazi, tutenge siku mbili (ardhi day) za kutatua kero zote za ardhi Wilaya ya Hai ambapo tutasikiliza malalamiko yote ya ardhi na kufanya maamuzi. Kwa kesi zitakazotakiwa kwenda mahakamani tutashauri hivyo ili tuweze kumaliza malalamiko yote.”

 Hivi karibuni Kamati ya ulinzi na usalama wilayani Hai ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ilifika katika maeneo ya uchimbaji wa madini hayo kuona namna shughuli zinavyoendeshwa na kugundua kuwa eneo hilo linahatarisha usalama wa wachimbaji na wananchi wanaozunguka maeneo hayo na kuagiza shughuli hizo kusitishwa kwa muda.

Matangazo

  • TANGAZO LA UKUSANYAJI NA UZOAJI TAKA HAI MJINI September 27, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2023 WILAYA YA HAI November 23, 2023
  • MAJINA YA WALIOITWA USAHILI NAFASI ZA JESHI WILAYA YA HAI September 06, 2023
  • TANGAZO LA UKUSANYAJI NA UZOAJI TAKA HAI MJINI September 27, 2023
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Mhe Kaijage Awataka Watumishi Kufanya Kazi Kwa Bidii

    November 22, 2023
  • Mkalipa Ataka Viongozi Wa Dini Kufundisha Waumini

    November 08, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Sanya Station Washukuru Ulipwaji Wa Fidia

    October 25, 2023
  • Mkurugenzi Dionis Myinga Aishukuru Kambele Kwa Msaada Wa Sementi

    October 23, 2023
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai