Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inatangaza nafasi za kazi Elfu Sita Mia Moja na Themanini (6,180) kwa wahitimu wa kada za Afya nchini. Watumishi watakaochaguliwa watapangiwa katika Halmashauri zenye uhitaji mkubwa wa watumishi.
Kitongoji cha Bomani
Anuani ya Posta: 27 Hai
Simu: 0272758441
Simu ya Mkononi:
Barua Pepe: ded@haidc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai