• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wanufaika wa TASAF Watakiwa Kujiunga na Bima ya Afya

Imetumwa: June 4th, 2018

MKUU wa wilaya ya Hai Onesmo Buswelu amewataka wananchi wanaonufaidika  fedha zinzotolewa na mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) kwa ajili ya  kunusuru kaya masikini kutumia  sehemu ya fedha hizo na kujiunga na bima ya afya.

Akizungumza na wananchi wanaonufaika na mpango huo wakati wa zoezi uhawilishaji wa fedha katika kijiji cha Tindigani aliwataka kuhakikisha kuwa  wanajiunga na Bima ya afya ili waweze kupata matibabu pindi wanapougua.

“Serikali imelenga kuboresha maisha ya wananchi wake, ni vyema ninyi mnaopata fedha za TASAF kuzitumia pia kwa kujikatia bima ya afya ambayo inawapa nafasi ya kutibiwa katika zahanati na vituo vya afya pamoja na hospitali ya wilaya kwa kupitia Bima hiyo ”amesema Buswelu.

“Unaweza ukaanza kutenga fedha kidogo kidogo kadiri unavyopata kwa kila awamu na hatimaye  ukafanikiwa  kupata fedha zitakokuwezesha kuwa na bima yako itakayokupa na nafasi wewe na familia yako kupata huduma kwa uhakika” amefafanua.

“Mtu  anaweza kupata maradhi muda wowote bila kujali kama ana pesa ama la lakini akiwa na bima ya afya anao uhakika wa kupata matibabu wakati wowote” amesisitiza.

Akizungumzia baadhi ya wanufaika kutumia fedha hizo kwa kununua pombe amesema kuwa serikali haitasita kuwaondoa  katika mpango kwani lengo la mpango huo ni kuhakikisha kuwa kila mmoja anabadili hali yake kiuchumi.

Kwa upande wake mtendaji wa kijiji hicho, Theodora Kessy amesema tangu mpango huo kuanzishwa umeleta mabadiliko makubwa kwani wanufaika wengi wameweza kuanzisha miradi midogo ikiwemo ufugaji wa kuku na mbuzi.

“Mpango huu umeboresha mahudhurio ya wanafunzi  shuleni , pia umechangia mwitikio kwa wanawake wenye watoto wadogo kuhudhuria kiliniki kama inavyotakiwa” alisema.

Naye Diwani wa kata ya Kia, Yohana Laizer aliwasisitiza wanufaika wa fedha hizo kutozitumia kwa matumizi ya kawaida badala yake wajitahidi kuanzisha miradi midogo watakayoweza kuimudu ili kujikomboa kiuchumi na kufanikisha lengo kuu la mradi huo.

“Mradi huu ni wa mda na ipo siku utafikia mwisho hivyo basi ni vyema kila mmoja wetu aliyepata bahati ya kunufaika akatumia mradi huu kwa malengo ya kujiinua kiuchumi ili mradi utakapofikia mwisho uwe na kitu cha kukusaidia kupata mahitaji yako ya muhimu” amesema Diwani huyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Serikali Kuboresha Soko La Parachichi

    June 11, 2025
  • Ng'ombe Elfu 88 Kupata Chanjo Ya Mapafu Wilayani Hai

    June 12, 2025
  • Mashirika Yasiyo Ya Kiserikali Yametakiwa Kushirikiana

    June 10, 2025
  • Mbunge Wa Jimbo La Hai Aomba Matengenezo Ya Barabara

    June 10, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai