• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

NAIBU KATIBU MKUU APONGEZA USTAWI WA JAMII WILAYA YA HAI

Imetumwa: November 5th, 2017

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Ndugu Hassan Khatib Hassan ametoa pongezi kwa kitengo cha Ustawi wa Jamii Wilaya ya Hai kwa utendaji mzuri na utekelezaji wa majukumu yake ikiwemo swala la ulinzi wa mtoto.

Ndugu Hassan Khatib Hassan akiambatana na timu ya wataalamu kutoka wizara yake amesema hayo wakati wa ziara ya mafunzo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Hai yenye lengo la kujionea na kujifunza namna kitengo cha Ustawi wa Jamii kinavyofanya kazi.

Amesema wamefurahishwa na ushirikiano waliouona kati ya wataalamu wa Halmashauri na watendaji katika ngazi zote hadi kwenye ngazi ya kijiji pamoja na ushirikiano mzuri na dawati la jinsia na watoto la Polisi Wilaya ya Hai ambapo wamejionea namna kazi zinavyotekelezwa kwa kushirikiana na kwenda pamoja hatua kwa hatua huku kila kundi likitekeleza majukumu yanayowahusu.

Aidha Ndugu Hassan Khatib Hassan ameonesha kufurahia suala la uhamasishaji na elimu dhidi ya ukatili inavyotolewa kwa jamii ambapo wameshuhudia elimu ikitolewa kwa njia mbalimbali ikiwemo mikutano ya hadhara ya vijiji, kutembelea kwenye shule pamoja na kutumia vyombo vya habari.

Kwa upande wake Afisa Ustawi wa Jamii Wilaya ya Hai; Helga Simon amesema wamefarijika sana kupokea ugeni huo mkubwa wa kitaifa kuja kujifunza wanavyotekeleza majukumu yao kwani imewaongezea ari ya kufanya kazi kwa ufanisi zaidi.

Katika ziara hiyo, timu kutoka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ikujumuisha Mkurugenzi wa Idara ya Wanawake na watoto, Maafisa Ustawi wa jamii wa kitaifa na wilaya wakiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Ndugu Hassan Khatib Hassan walitembelea ofisi za Ustawi wa Jamii Wilaya, One Stop Centre iliyopo Hospitali ya Wilaya, Dawati la Jinsia na Watoto Kituo cha Polisi Wilaya pamoja na kijiji cha Romu kilichopo kata ya Masama Mashariki kujionea jinsi timu za ulinzi wa mtoto zinavyofanya kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Serikali Kuboresha Soko La Parachichi

    June 11, 2025
  • Ng'ombe Elfu 88 Kupata Chanjo Ya Mapafu Wilayani Hai

    June 12, 2025
  • Mashirika Yasiyo Ya Kiserikali Yametakiwa Kushirikiana

    June 10, 2025
  • Mbunge Wa Jimbo La Hai Aomba Matengenezo Ya Barabara

    June 10, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai