• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mwenge Umeweka Jiwe La Msingi Ujenzi Wa Kituo Cha Afya Kata Ya Kia

Imetumwa: July 4th, 2025


Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la msingi katika mradi  wa ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika Kituo cha Afya cha Kata ya Kia, wilaya  Hai mkoa wa  Kilimanjaro.

 Tukio hilo muhimu limefanywa na kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa kwa mwaka 2025, Ismail Ali Usi ambaye alisifu juhudi za Serikali kwa kushirikiana na wananchi katika kuboresha huduma za afya nchini.

Mradi huo wa ujenzi wa jengo la kisasa la OPD umegharimu zaidi ya shilingi milioni 200 hadi sasa, fedha zilizotokana na mchango wa serikali  pamoja na nguvu za wananchi.


 Jengo hilo linatarajiwa kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma za afya kwa wakazi wa Kata ya Kia na maeneo jirani kwa kutoa huduma bora, za haraka na kwa mazingira rafiki kwa wagonjwa.


Akizungumza wakati wa kuweka jiwe la msingi, Kiongozi wa mbio za mwenge Ismail Ali Ussi amewataka wananchi kuendelea kulinda miundombinu hiyo na kushiriki kikamilifu katika kuimarisha sekta ya afya.


"Ndugu zangu kabla ya kuwepo kwa kituo hiki,ni kweli kwamba wananchi walikuwa wakipata changamoto kubwa katika kupata huduma ya afya,lakini serikali sikivu iliona ipo haja ya kujenga kituo hiki cha Afya hivyo ni jukumu lenu sasa kulinda na kutunza miondombinu hii" Amesema Kiongozi wa mbio za mwenge Ismail Ussi"


Kwa upande wao wananchi wa Kata ya Kia wameishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwajengea kituo hiki cha afya kwani walikuwa wakitembea umbali mrefu kwa ajili ya kupata huduma za afya lakini kwa sasa huduma hiyo inapatikana katika eneo lao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Mwenge Umezindua Miradi Yenye Thamani Ya Shilingi Milioni 900 Katika Hospitali Ya Wilaya Ya Hai

    July 04, 2025
  • Mwenge Umezindua Miradi Yenye Thamani Ya Shilingi Milioni 900 Katika Hospitali Ya Wilaya Ya Hai

    July 04, 2025
  • Mwenge Umezindua Miradi Yenye Thamani Ya Shilingi Milioni 900 Katika Hospitali Ya Wilaya Ya Hai

    July 04, 2025
  • Mwenge Umeweka Jiwe La Msingi Ujenzi Wa Kituo Cha Afya Kata Ya Kia

    July 04, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai