• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Watendaji wa Serikali za Mitaa Watakiwa Kuboresha Huduma kwa Wananchi

Imetumwa: August 23rd, 2019

Wito umetolewa kwa watumishi wa umma kutimiza wajibu na majukumu ya kazi zao kwa uadilifu na kuimarisha huduma kwa wananchi walio kwenye maeneo yao.

Akizungumza kwenye ukumbi wa Halmashaur ya Wilaya ya Hai wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha maafisa watendaji wa Halmashauri hiyo; Simon  Msoka Katibu Tawala Msaidizi (Uchumi na Uzalishaji) akimuwakilisha Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro.

Msoka amesema watendaji wa vijiji, kata na maafisa tarafa ndio kiungo kikubwa cha kuwahudumia wananchi na kwamba ndio wanaofahamu mahitaji halisi ya wananchi kwenye maeneo yao kwani ndio waliopo karibu nao.

Aidha amewataka watendaji hao kuhakikisha wanatatua kero za wananchi kwenye maeneo yao ili kupunguza na hatimaye kuondoa malalamiko yanayopelekwa na wananchi kwa viongozi wa kitaifa.

“Ni jambo la aibu kuona wananchi wanapeleka malalamiko yao kwa viongozi wa kitaifa; hii inaonesha kuwa wapo watendaji wa vijiji, kata na maafisa tarafa walioshindwa kutimiza wajibu wao”. Amesema Msoka.

“Ukikuta wananchi wengi wamejaa kwenye ofisi ya Mkurugenzi au Mkuu wa Wilaya ni lazima wewe kama mtendaji wa kijiji ujiulize kama kweli unatosha kwenye nafasi yako” Amesisitiza.

Aidha Msoka amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai kuweka mazingira ya kutoa elimu ya mara kwa mara kwa watumishi wa kada mbalimbali hasa kundi la Maafisa Tarafa, Watendaji wa Kata na Watendaji wa Vijiji kupatika mafunzo ya namna hii kila mwaka.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Yohana Sintoo amemwakikishia Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro kuwa halmashauri yake ipo tayari kusimamia maelekezo yaliyotolewa kwenye ufunguzi wa mafunzo hayo.

Sintoo amesema kuwa ofisi yake itahakikisha watumishi wanatekeleza wajibu wa majukumu yao kwa ufanisi unaotakiwa ikiwa ni juhudi za kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na serikali kuu yenye lengo kuu la kuboresha huduma kwa wananchi.

Halmashauri ya Wilaya ya Hai inaendesha Kikao Kazi kwa Maafisa Tarafa, Maafisa Watendaji wa Kata na Maafisa Watendaji wa Vijiji vyote vya halmashauri hiyo ambacho kinalengo la kuboresha utendaji wao wa kazi, kuimarisha huduma kwa wananchi na kuwapatia uelewa wa mambo mtambuka yanayohusu jamii wanazozihudumia pamoja na jamii za taasisi na mashirika yanayotoa huduma kwenye maeneo yao.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Serikali Kuboresha Soko La Parachichi

    June 11, 2025
  • Ng'ombe Elfu 88 Kupata Chanjo Ya Mapafu Wilayani Hai

    June 12, 2025
  • Mashirika Yasiyo Ya Kiserikali Yametakiwa Kushirikiana

    June 10, 2025
  • Mbunge Wa Jimbo La Hai Aomba Matengenezo Ya Barabara

    June 10, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai