• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Viongozi Wa Vijiji Watakiwa Kushiriki Kutunza Vyanzo Vya Maji

Imetumwa: January 11th, 2023

Mkuu wa wilaya ya hai Juma Saidi Irando amewataka wafugaji,wakulima na wanachi wote wa kijiji cha longoi kata ya Weru Weru wilayani Hai kutunza na kuvilinda vyanzo vya maji katika kata hiyo ili kuendelea kuboresha mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Hayo ameyasema katika ziara yake aliyoifanya January 11, 2023 katika katika kata hiyo ya Weru Weru kwenye ofisi ya kijiji cha Longoi wakati akisikiliza changamoto mbali mbali zinazo wakabili wananchi wa kata hiyo na kuzitolea ufafanuzi.

Aidha Irando amewataka viongozi wa kata na vijiji kuweka utaratibu wa kukutana na wafugaji pamoja na wakulima na kuzungumza nao ili kuweza kuondoa migogoro na changamoto zilizopo baina yao hali inayosababisha kutokuelewana.

Hata hivyo amewataka viongozi hao pindi wanapokutana na wafugaji kupata idadi ya mifugo kwa kila mfugaji na kuweka utaratibu wa wapi mifugo ikae na wapi mifugo isikae ili kuepuka uharibifu wa vyanzo maji katika maeneo yao.

Matangazo

  • KUITWA KAZINI January 23, 2023
  • TANGAZO LA KAZI, MKUSANYA MAPATO NA MTEKNOLOJIA MSAIDIZI DAWA January 24, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA January 25, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KITAIFA KIDATO CHA PILI MWAKA 2021 January 15, 2022
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Amshukuru Mhe Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Kwa Fedha Za Maendeleo

    February 02, 2023
  • Wakuu Wa Wilaya Wapya Waapishwa

    February 01, 2023
  • Viongozi Watakiwa Kushirikiana na Wananchi Kukabiliana na Ualifu

    January 26, 2023
  • Wananchi Watakiwa Kujitokeza Kupatiwa Msaada Wa Kisheria

    January 23, 2023
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai