• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Kidato cha Sita Wilaya ya Hai Waaswa Kuzingatia Elimu

Imetumwa: June 2nd, 2020

Afisa Elimu ya Sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai Julias Kakyama amewataka wanafunzi wa Kidato cha Sita kutumia muda uliobaki kufanya maandalizi ya muhimu ya Mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari uliopangwa kuanza kufanyika mwishoni mwa mwezi Juni.

Akizungumza na walimu na wanafunzi wa shule zenye Kidato cha Sita alipotembelea shule hizo kukagua wanafunzi wanaorejea kutoka nyumbani na kugawa vifaa vya kunawia kwenye shule hizo Kakyama amesema wanafunzi wanatakiwa kuutumia vizuri muda huu mfupi.

Amewasisitiza walimu na wanafunzi kushirikiana katika maandalizi ya mitihani ili wanafunzi waweze kufanya vizuri kwenye mtihani huku akisisitiza kuwa wanafunzi wajiwekee malengo ya kupata alamu za juu kujihakikishia ufaulu mzuri.

Kakyama amewaelekeza Wakuu wa Shule hizo kusimamia nidhamu ya wanafunzi na kuhakikisha kuwa juhudi za kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona zinazingatiwa na wote.

“Serikali inathamini watu wake, mkiwemo ninyi wanafunzi na imepokea msaada kutoka kwa wahisani na kuamua kuwagawia bila kujali shule ya Serikali au ya binafsi au ya taasisi kwa sababu wote ni watanzania”

“Juhudu hizi za Serikali inabidi zikutane na juhudi za kila mmoja wenu za kujikinga binafsi na kuwakinga wengine ili vita ya ugonjwa huu ipiganwe kwa pamoja” Amesema Kakyama.

Aidha Afisa Elimu amezuia rihusa za kwenda nje ya shule kwa wanafunzi wote katika kipindi watakapokuwa shuleni na kwamba iwapo watakuwa na mahitaji ya muhimu washirikiane na wakuu wa shule ambao wataweka utaratibu wa kuwaletea huduma na mahitaji hayo.

“Ruhusa zote zimefungwa ikiwemo kwenda sehemu za ibada. Mkuu wa Shule atawawekea utaratibu wa kufanya ibada hapa shuleni. Mtasaidiwa namna ya kupata viongozi wa dini watakaoendesha ibada hapahapa shuleni kulingana na Imani na madhehebu yenu” Amesisitiza.

Afisa Elimu ametembelea shule 10 zenye wanafuzni wa Kitado cha Sita na kuzungumza kwa pamoja na walimu na wanafunzi huku akiwakabidhi vifaa vya kunawia mikono ikiwemo ndoo na sabuni 42 ili kuimarisha juhudi za kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona.

Matangazo

  • TANGAZO LA UKUSANYAJI NA UZOAJI TAKA HAI MJINI September 27, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2023 WILAYA YA HAI November 23, 2023
  • MAJINA YA WALIOITWA USAHILI NAFASI ZA JESHI WILAYA YA HAI September 06, 2023
  • TANGAZO LA UKUSANYAJI NA UZOAJI TAKA HAI MJINI September 27, 2023
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Mhe Kaijage Awataka Watumishi Kufanya Kazi Kwa Bidii

    November 22, 2023
  • Mkalipa Ataka Viongozi Wa Dini Kufundisha Waumini

    November 08, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Sanya Station Washukuru Ulipwaji Wa Fidia

    October 25, 2023
  • Mkurugenzi Dionis Myinga Aishukuru Kambele Kwa Msaada Wa Sementi

    October 23, 2023
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai