• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Halmashauri Zapewa siku 30 Kukamisha Ujenzi Wa Madarasa

Imetumwa: November 16th, 2021

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Ummy Mwalimu ameziagiza Halmashauri zote Nchini kuhakikisha zinakamilisha ujenzi wa Madarasa  ifikapo tarehe 15.12.2021

Waziri Ummy ametoa agizo hilo leo Nov 16 2021 alipofanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro ambapo amesema kuwa hakutakuwa na uchaguzi wa awamu pili  ya wanafunzi wa kidato cha kwanza  na kuziagiza Halmashauri zote kuhakikisha wanakamilisha  ujenzi wa madarasa kwa wakati ili wanafunzi wote wanaofaulu kujiunga na kidato cha kwanza waanze kusoma kwa wakati mmoja.

Amesema fedha za UVIKO  19 zimetolewa kwa lengo la  kuendeleza miradi ya maendeleo kwenye  sekta ya Afya, na Elimu hivyo Viongozi wa Mikoa yote nchini  wanawajibu  wa  kuhakikisha wanasimamia kikamilifu ukamilishaji wa ujenzi wa miradi kwa wakati.

Aidha Waziri Ummy ametoa maelekezo kwa Halmashauri zote kutumia mapaa yenye migongo miwili ili kupunguza gharama za ujenzi na kuwataka kutumia tarazo au sakafu za kawaida kwa kuwa vigae vinavyowekwa kwenye ujenzi wa madarasa vipo chini ya viwango.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Edmund Rutaraka amemshukuru Mhe. Rais Samia kwa jitihada zake za kuboresha miundombinu ya shule ambapo pia amemuomba Waziri  kuwapatia fedha kwa ajili ya ujenzi wa mabweni mawili na uzio katika shule ya Sekondari ya Hai.

Halmashauri ya Wilaya ya Hai imepata kiasi cha shilingi milioni   860 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 43 vya madarasa.


Matangazo

  • WALIOITWA KAZINI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 27, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MTENDAJI WA KIJIJI July 29, 2022
  • TANGAZO LA KAZI MAALUMU UCHAGUZI MKUU 2020 September 19, 2020
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KITAIFA KIDATO CHA PILI MWAKA 2021 January 15, 2022
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Katibu Tawala Wilaya Ya Hai Awataka Washiriki Kudhamini Zoezi La Sensa Na Makazi

    August 05, 2022
  • Mwenyekiti Wa Halmashauri Ya Wilaya Ya Hai Awataka Madiwani Kusimamia Miradi Ya Maendeleo

    July 29, 2022
  • Wanakaya Watakiwa Kuwa Na Taarifa Sahihi

    July 27, 2022
  • Wananchi Watakiwa Kutoa Taarifa Sahihi Sensa Ya Watu Na Makazi

    July 22, 2022
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri nje ya nchi

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai